Mawaidha
IQNA - Katika Uislamu, kushiriki katika michezo kwa nia safi au ikhlasi hubadilisha shughuli za kimwili kuwa tendo la ibada, kukuza afya ya kimwili na ustawi wa kiroho.
Habari ID: 3479793 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23
Watetezi wa Palestina
IQNA-Mechi kati ya Paris Saint-Germain na Atletico Madrid katika Ligi ya Soka ya Mabingwa wa Ulaya- UEFA- ilikuwa uwanja wa harakati za kuunga mkono Palestina Jumatano usiku.
Habari ID: 3479713 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/07
Wanariadha Waislamu
IQNA – Mwanamke Muirani Sareh Javanmardi wa Iran ameubusu Msahafu (nakala ya Qur'ani Tukufu) baada ya kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya Olimpiki ya Walemavu 2024 huko Paris, hatua ambayo imewavutia Waislamu duniani kote na kupongezwa na taasisi kuu ya Qur'ani.
Habari ID: 3479365 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01
Michezo ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mkoa wa Konya wa Uturuki unaandaa toleo la tano la Michezo ya Mshikamano wa Kiislamu, ambayo ilizinduliwa rasmi katika sherehe siku ya Jumanne.
Habari ID: 3475604 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10